Friday, 9 March 2018

Karibu kwenye blog ya Dr Mzamilu
Karibu sana kwenye blog ya Dr Mzamilu. Hii ni blog yako ya kukupa habari za kweli na uhakika. Tunakuahidi blog hii kuwa blog ya kwanza Tanzania kwa kutoa huduma nzuri za habari, mafunzo mbali mbali ya kukufundisha kuhusiana na afya na maisha n.k.

Ukiwa na Tangazo unataka tukutangazie kwenye blog hii ni bei ndogo sana wasiliana nasi kwa haraka kupitia email hii  mzamilubaraka761@gmail.com utajibiwa kwa haraka sana. Unachotakiwa ni kuelezea nini unataka kutangaza mfano kutangaza biashara, Huduma au kutangaza blog au website ili ijulikane na watu wengi zaidi.

Vitu vizuri share na marafiki. Watumie marafiki anwani ya blog hii ambayo ni Dr-mzamilu.blogspot.com watumie kwenye magroup ya whatsapp facebook na kwingineko ili nao waje kufaidika na habari zinazoandikwa kwenye blog hii ya kwanza kwa kutoa habari za kweli. Ukiwa na maoni comment hapa chini. Karibu sana.