VYANZO VIKUU VYA MIMBA KUHARIBIKA NI:
1. Chango la Uzazi.
2. P. I. D
3. Athari zinazotokana na kutumia dawa za uzazi wa mpango hapo kabla.
4. Uvimbe kwenye kizazi.
5. Historia ya kuharibikiwa kwa mimba.
6. Msongo wa mawazo, makasiriko n.k
7. Kupanda bodaboda ukiwa mjamzito au kusafiri umbali mrefu n.k
8. Kufanya kazi ngumu ngumu wakati wa ujauzito mfano kunyanyua, kubeba, kusogeza na hata kuinama mda mrefu.
9. Kutumia dawa kihorela bila ushauri mzuri wengine hata vinywaji vyenye kemikali nyingi n.k.
Kama ulishawahi kuharibikiwa mimba, Je, wewe unadhani namba ngapi inakuhusu hapo?.
#Dr Mzamilu Baraka 0684362870

0 coment�rios: