Monday, 29 July 2024

Jua Sababu Zinazopelekea Kutoka kwa Mimba

 VYANZO VIKUU VYA MIMBA KUHARIBIKA NI:



1. Chango la Uzazi.


2. P. I. D


3. Athari zinazotokana na kutumia dawa za uzazi wa mpango hapo kabla.


4. Uvimbe kwenye kizazi.


5. Historia ya kuharibikiwa kwa mimba.


6. Msongo wa mawazo, makasiriko n.k


7. Kupanda bodaboda ukiwa mjamzito au kusafiri umbali mrefu n.k


8. Kufanya kazi ngumu ngumu wakati wa ujauzito mfano kunyanyua, kubeba, kusogeza na hata kuinama mda mrefu. 


9. Kutumia dawa kihorela bila ushauri mzuri wengine hata vinywaji vyenye kemikali nyingi n.k.


Kama ulishawahi kuharibikiwa mimba, Je, wewe unadhani namba ngapi inakuhusu hapo?.

#Dr Mzamilu Baraka 0684362870

Dkt. Mzamilu ni mtaalamu mahiri wa tiba asili ambaye kwa miaka kadhaa sasa ameendelea kuwasaidia wanawake wengi kupata watoto baada ya miaka mingi ya kusubiri kwa maumivu na matumaini. Kupitia maarifa yake ya kina na huduma zenye weledi mkubwa, pia amewasaidia wagonjwa wengi waliokata tamaa kupona magonjwa sugu na kurudi katika maisha yenye afya na furaha. Anatambulika rasmi na Wizara ya Afya, akiwa na vibali vyote vinavyohitajika kisheria kutoa huduma za tiba asili kwa uhalali na usalama. Dkt. Mzamilu si tu daktari, bali ni msaada wa matumaini kwa familia nyingi, akiwa na dhamira ya kweli ya kubadilisha maisha kupitia tiba za asili zilizothibitishwa.

0 coment�rios: