Thursday, 8 August 2024

UNAPOAMBIWA UNA HORMONAL IMBALANCE HUWA UNA ELEWA NINI?

 *Unapoambiwa una homoni imbalance huwa una elewa nini?*



Leo ngoja tuangalie suala hili la homoni imbalance. 


Mvurugiko wa homoni kwa wanawake ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa homoni (vichocheo) katika mwili wa mwanamke, hivyo kufanya mabadiliko katika mwili wa mwanamke. 


Tatizo hili kwa kitaalamu hujulikana kama *Hormonal imbalance.*


Mvurugiko wa homoni kwa wanawake huweza kuchangiwa na kutokuwepo kwa usawa katika homoni zifuatazo: 


 *Estrogen, progesterone na testosterone...* 


Ambapo kuzidi au kupungua kwa homoni hizi hupelekea mvurugiko wa homoni (vichocheo) kwa wanawake.


Sababu Zinazopelekea Mvurugiko wa Homoni (Hormonal Imbalance) 


1. Uwepo wa sumu nyingi mwilini 

2. Mtindo mbovu wa maisha

3. Kutofanya mazoezi 

4. Uzito mkubwa

5. Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa

6. Msongo wa mawazo 

7. Utoaji wa mimba

8. Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango 


Dalili za Mvurugiko wa Homoni kwa Wanawake 


1. Kukosa ute wa uzazi

2. Kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa

3. Uke kuwa mkavu sana

4. Maumivu wakati wa tendo la ndoa

5. Kupata hedhi isiyo na mpangilio mzuri

6. Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi

7. Kukosa hedhi kwa muda mrefu

8. Kupata hedhi yenye mabonge mabonge

9. Kuchagua baadhi ya vyakula

10. Kupata dalili za mtu mjamzito kama maziwa kujaa, kuhisi kichefu chefu, kizungu zungu, n.k

11. Ongezeko la tumbo na nyama uzembe

12. Kupata hedhi wakati wa ujauzito 


Madhara ya Mvurugiko wa Homoni kwa Wanawake 


1. Kutobeba mimba

2. Mimba kuharibika mara kwa mara

3. Kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroids au ovarian cysts) 


Sasa suluhisho lake ni nini?


Kuna suluhisho mbili...

1. Ujisaidie wewe mwenyewe kumaliza hilo tatizo.

 au

2. Sisi tukusaidie kumaliza tatizo hilo.


Chaguo namba moja ni nzuri lakini matokeo yake huwa yanachukua muda sana hadi kuyaona.


Kama hili ndio chaguo lako safi sana, unachohitaji kufanya ni kuhakikisha kila siku unakula ndizi 3 mbivu,


Cabbage (kabichi) bakuli moja (isiyopikwa) na maziwa fresh kikombe kimoja cha chai.


Utatumia ndani ya siku 21 hadi 30 utakuwa sawa kabisa.


Lakini kama unataka matokeo ya haraka na upo tayari sisi tukusaidie basi chaguo la 2 ni bora kwako.


Hapa sisi tutakusaidia kwa kukupatia program ya lishe na tiba.


Ambapo ndani yake unapewa dawa ya kutumia pamoja na lishe ya chakula.


Kwa kawaida program hii bei yake huwa ni Tsh 250,000/=


Lakini kwasababu huu ni mwezi wa 8/8 nitakusaidia kwa Tsh 2000,000/= tu badala ya Tsh 250,000/=


Watu watatu wa mwanzo kulipia nitawapatia dawa ya kuweka homoni sawa na kuondoa infections kwenye kizazi.


Dawa hiyo huwa inauzwa Tsh 290,000/= lakini ukiwa miongoni mwa watu wa mwanzo utaipata bure na utatumiwa bure hadi huko uliko


Kama utapenda kupata ofa hii basi hakikisha unafanya malipo kabla ya tarehe 11/08/2024 saa 6:00 usiku.


Malipo yafanyike kupitia...


M-Pesa No: 0685362860

Jina: Mzamilu Baraka. 


Ukishafanya malipo nitumie majina yako mawili, namba ya simu na mahali ulipo kupitia WhatsApp ili nikutumie mzigo wako.


Mimi mwenye kujali furaha yako, 

.Dr.Mzamilu Baraka

Dkt. Mzamilu ni mtaalamu mahiri wa tiba asili ambaye kwa miaka kadhaa sasa ameendelea kuwasaidia wanawake wengi kupata watoto baada ya miaka mingi ya kusubiri kwa maumivu na matumaini. Kupitia maarifa yake ya kina na huduma zenye weledi mkubwa, pia amewasaidia wagonjwa wengi waliokata tamaa kupona magonjwa sugu na kurudi katika maisha yenye afya na furaha. Anatambulika rasmi na Wizara ya Afya, akiwa na vibali vyote vinavyohitajika kisheria kutoa huduma za tiba asili kwa uhalali na usalama. Dkt. Mzamilu si tu daktari, bali ni msaada wa matumaini kwa familia nyingi, akiwa na dhamira ya kweli ya kubadilisha maisha kupitia tiba za asili zilizothibitishwa.

0 coment�rios: