Friday, 30 August 2024

MADHARA YA KUJICHUA (PUNYETO) KWA WANAWAKE

 *MADHARA YA KUJICHUA(PUNYETO) KWA WANAWAKE*



Wanawake wengi leo hii wamekuwa wahanga wa tatizo hili la kujichua kwa kile wanachodai kuto rizishwa na wenza wao badala yake hutumia vidole au vitu mbalimbali kujichua na kujiridhisha wenyewe.Kitendo hiki wengi hukifanya wakiwa wanaimani hakina madhara au watafanya kwa mda tu wataacha,lakini uhalisia ni kwamba yapo madhara mengi ya jambo hili,leo tuangalie haya machache..


1.KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA;

Kujichua ni kitendo kinacho husisha ubongo na homon katika mwili,unapofanya kitendo hiki sehem zako za siri zitapata sugu ambayo itapelekea ukose ham na radha hata pindi unapokutana na mwenza wako.


2.MARADHI;

 Magonjwa kama UTI sugu na Fangasi yamekuwa sugu yani hayaponi kwa watu wanaojichua na hii inatokana na usafi wa vitu vunavyotumika kujichua na ulaini wa sehem zako a siri.


3.KANSA KATIKA SHINGO YA KIZAZI; 

kuna baadhi ya wanawake hutumia ndizi,vifaa vya plastiki au chochote kuingia sehem za siri wakati wa kufanya tendo hili,hii ni hatari kubwa kwa maana inaweza kukupelekea kupata kansa katika via vyak vya uzazi.


4.KUSHINDWA KUPATA MIMBA; 

Kama utakuwa umefanya kitendo hiki kw mrefu,kumbuka sehem zako za siri zitakuwa na sugu na pia zitakosea ul ute wa uzazi unaotumika kusafirisha mbegu za kiume hadi kwenye mji wa mimba,ukifikia kiwango hiki sahau kupata mtoto.


✍MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA;

 Hii inatokana na kufa kwa tezi zinazohusika kuzalisha ute pale ukeni,kufa kwa tezi hizi kutafanya sehem yako ya siri iwe kavu,ukavu huu ndio unaopelekea maumivu makali pindi unapofanya tendo la ndoa kutokana na mchubuko mkali unaotengenezwa kwa kukosa ute wakutosha.


5.MAAMBIKIZI YA HIV/AIDS; 

Mtu alie athirika na punyeto ni rahisi sana kupata maambukizi ya ukimwi pindi akikutana na muathirika hii ni kwasababu uke wake unakuwa hauna ute hivyo msuguano ni mkubwa wakati wa tendo la ndoa,hii itamfanya apate virusi mapema.


*JE KUNA DAWA YA KUACHA KUJICHUA*

✍Wanawake wengi mara baada ya kuona wameathirika na jambo hilo huwa wanatamani kuacha lakini kila wakijaribu huwa wanashindwa,yani anaacha siku chache halafu anarudia tena,hii ni hatari sana kwako..kama wewe ni miongoni mwao yani umeshindwa kabisa kuacha tabia hii, usijari zipo njia za kufuata kuacha kitendo hiki, Tuna mfumo wa Tiba lishe na Ushauri wa Kiafya ili Kutibu Tatizo hili moja kwa moja.


Tupigie/Call/Whatsap

๐Ÿ“ž๐Ÿ“ฒ  +255684362870

Dkt. Mzamilu ni mtaalamu mahiri wa tiba asili ambaye kwa miaka kadhaa sasa ameendelea kuwasaidia wanawake wengi kupata watoto baada ya miaka mingi ya kusubiri kwa maumivu na matumaini. Kupitia maarifa yake ya kina na huduma zenye weledi mkubwa, pia amewasaidia wagonjwa wengi waliokata tamaa kupona magonjwa sugu na kurudi katika maisha yenye afya na furaha. Anatambulika rasmi na Wizara ya Afya, akiwa na vibali vyote vinavyohitajika kisheria kutoa huduma za tiba asili kwa uhalali na usalama. Dkt. Mzamilu si tu daktari, bali ni msaada wa matumaini kwa familia nyingi, akiwa na dhamira ya kweli ya kubadilisha maisha kupitia tiba za asili zilizothibitishwa.

0 coment�rios: