Tuesday, 25 June 2024

Maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa Mwanamke

 

Maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake





 Kutokana na sababu mbalimbali wanawake wengi hupatwa na tatizo la maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa nyakati tofauti tofauti 

>> Maumivu haya Mara nyingi hutokea katika kibofu cha mkojo au katika via vya uzazi wa mwanamke 

>>Mara nyingi ni ngumu kujua sababu hasa ya maumivu. Lakini kwa kuzingatia dalili na maelezo ya mgonjwa daktari anaweza kujua chanzo cha tatizo 


#DALILI SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE 


#DALILI

>Dalili kuu ni maumivu ambayo yanaweza kuwa chini ya kitovu katikati kulia na kushoto.Ila kuna yale ya upande mmoja yanayosambaa 

>>>Kuna maumivu mengine chini ya kitovu huwapata wanawake wanaposhiriki tendo la ndoa kwa ndani ya uke au chini ya kitovu 

>>>Pia yapo maumivu ambayo huwapata wanawake wakati wameinama wakati wa kunyanyua vitu vizito ,wakati wa kucheka au kuimba  na wengine wakiwa wamelala kifudifudi


#SABABU


>>>Mirija ya uzazi kujaa maji mazito na machafu ambayo huzuia yai kutembea kwenye mirija ya uzazi. Mwanamke ambaye amewahi kuambiwa na daktari kwamba anatakiwa akasafishwe kizazi chake au mirija ya uzazi na wakati huo huo anasikia maumivu chini ya kitovu kushoto na kulia au upande mmoja kuna uwezekano akawa na tatizo la mirija ya uzazi kuziba. Kuto kana na kujaa maji machafu 

>>>Afya mbovu ya kibofu cha mkojo ikiambatana na matatizo ya maambukizi kwenye mfumo mzima wa mkojo UTI. Maumivu chini ya kitovu yanayohusisha afya mbovu ya kibofu cha mkojo huambatana na mgonjwa kutoa haja ndogo kidogo sana Ila Mara kwa Mara.

>>>Kuvimba kwa kuta za mji wa mimba na kuta za mirija ya uzazi (P.I.D) mwanamke anayesikia maumivu chini ya kitovu katikati na pembeni kwa wakati huo huo akawa anatokwa.   Na uchafu mzito mithiri ya maziwa ya mtindi kunawezekana akawa na Pelvic inflammatory Disease (P.I.D) hasa hasa kama amewahi kukumbwa. Na tatizo la kuharibika kwa mimba kabla hajafikisha miezi mitano .


TIBA

Matatizo haya yanatibika hivyo ni vizuri kwenda hospitalini ufanyiwe uchunguzi na kupewa tiba sahihi kutokana na chanzo cha tatizo lako kwa maelezo zaidi na tiba halisi tutafute kwa namba zetu +255684362870  imeandaliwa na Dr Mzamilu Baraka 

Dkt. Mzamilu ni mtaalamu mahiri wa tiba asili ambaye kwa miaka kadhaa sasa ameendelea kuwasaidia wanawake wengi kupata watoto baada ya miaka mingi ya kusubiri kwa maumivu na matumaini. Kupitia maarifa yake ya kina na huduma zenye weledi mkubwa, pia amewasaidia wagonjwa wengi waliokata tamaa kupona magonjwa sugu na kurudi katika maisha yenye afya na furaha. Anatambulika rasmi na Wizara ya Afya, akiwa na vibali vyote vinavyohitajika kisheria kutoa huduma za tiba asili kwa uhalali na usalama. Dkt. Mzamilu si tu daktari, bali ni msaada wa matumaini kwa familia nyingi, akiwa na dhamira ya kweli ya kubadilisha maisha kupitia tiba za asili zilizothibitishwa.

0 coment�rios: