Tuesday, 25 June 2024

Sababu Zinazopelekea Mwanamke Kupata Hedhi mara mbili au Zaidi Ndani ya Mwezi Mmoja

 Sababu zinazopelekea Mwanamke Kupata Hedhi Mara Mbili au Zaidi Ndani ya Mwezi Mmoja



Mzunguko wa kawaida kwa wanawake ni siku 28  


na Hedhi huenda siku 3-7 lakini wapo ambao mzunguko unakuwa siku 21 hadi 35 kutokana na sababu mbali mbali,


Kupata Hedhi mara mbili hujulikana pale ambapo 


mwanamke katika mwezi au mzunguko wa siku 28 akatokwa na Damu ya Hedhi mara mbili 


mfano anakaa siku 14 anapata Hedhi huyu anahesabika amepata Hedhi mara 2 ndani ya mwezi mmoja.


Mambo Yanayosababisha kupata Hali ya Namna Hii.


>>> Matumizi ya madawa ya Uzazi wa mpango,


Dawa hizi zina vichocheo homoni viwili kwa 


Hivyo homoni zinaweza kuchochewa kuzidi na kupelekea Hedhi mara 2


>>>Uvimbe kwenye kizazi, Unafanya kizazi kishindwe kukaza na kushindwa kuzuia Damu kutoka


>>> Ugonjwa wa Polycystic ovaries syndrome, 


Huu Ni Ugonjwa unaotokana na mwanamke kuwa na homoni ya kiume 


Yaani "Androgen" kiasi kikubwa na hupelekea vifuko vidogo katika Mayai


>>> Ugonjwa wa Endometriosis ambao tishu kwenye mji wa Mimba zinaota kwenda nje 


>>> Msongo wa mawazo husababisha mabadiliko ya kikemikali katika mwili 


>>>Kutoa Mimba, hudhoofika Mayai na kufanya homoni zibadilike


>>> Ugonjwa wa PID maambukizi ya bacteria katika mji wa Mimba hupelekea Damu nyingi kutoka


>>> Kuwa na uzito mkubwa sana au mdogo hupelekea mabadiliko katika mwili 


>>>Kuwa na ujauzito hasa mtoto akitungwa nje ya mji wa Mimba


>>>Kukoma Hedhi kipindi ambacho homoni ya estrogen inashuka kiwango 


>>>Kuwa na Magonjwa ya Zinaa, kisonono Kaswende klamidia 


>>>Kansa ya kizazi, Tezi ya Thyroid kutofanya kazi vizuri 


>>> Mabadiliko ya Hali ya hewa au mazingira, Mazoezi makali au kupita kiasi


Kama Una Changamoto Yoyote Ya Kiafya Unaweza Kupata Msaada Kutoka Kwetu Kwa Namna.


1. Tukuhudumie Ukiwa Hukohuko Ulipo, Hapa Utatakiwa Kutupigia Simu 0684362870


2. Ufike Ofisini Kwetu Kwaajili Ya Vipimo, Ushauri na Tiba.

Dkt. Mzamilu ni mtaalamu mahiri wa tiba asili ambaye kwa miaka kadhaa sasa ameendelea kuwasaidia wanawake wengi kupata watoto baada ya miaka mingi ya kusubiri kwa maumivu na matumaini. Kupitia maarifa yake ya kina na huduma zenye weledi mkubwa, pia amewasaidia wagonjwa wengi waliokata tamaa kupona magonjwa sugu na kurudi katika maisha yenye afya na furaha. Anatambulika rasmi na Wizara ya Afya, akiwa na vibali vyote vinavyohitajika kisheria kutoa huduma za tiba asili kwa uhalali na usalama. Dkt. Mzamilu si tu daktari, bali ni msaada wa matumaini kwa familia nyingi, akiwa na dhamira ya kweli ya kubadilisha maisha kupitia tiba za asili zilizothibitishwa.

0 coment�rios: